SBS
SBS Swahili - SBS Swahili
Independent news and stories from SBS Audio, connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians. - Taarifa huru na hadithi zinazo kuunganisha na maisha nchini Australia nawa Australia wanao zungumza Kiswahili
Where to listen?
Podcasts in the app Replaio Radio Coming soonPodcasts are coming to the app soon. Install now and be the first to see a whole new take on podcasts
Episodes
Ongezeko la ugonjwa wa kisukari: Uchunguzi waangazia mwenendo wakutisha wa afya 10.10.2023 10:14
Serikali kwa sasa inazingatia mawasilisho kwa uchunguzi wa shirikisho, kuhusu ugonjwa wa kisukari, hali ambayo inazidi kuongezeka kote nchini Australia.
Geofrey "mengi yaliyo jadiliwa katika mkutano huu yametufungua mawazo sana sisi wanafunzi" 09.10.2023 12:49
Jumuiya ya wakenya wanao ishi mjini Sydney, NSW walikuwa na mkutano ulio toa fursa kwa wanachama wa jumuiya hiyo kuzungumza nama wakala wa uhamiaji pamoja na wataalam wengine.
Irene "kila mtu alirudi nyumbani akijua fasi gani katika familia anastahili tengeneza vizuri" 09.10.2023 11:03
Kwa mara nyingine kongamano la wanawake wa jumuiya yawa Afrika wanao ishi jimboni NSW, lili ongeza idadi ya walio lihudhuria katika kitongoji cha Wollongong.
Bobi Wine awekwa katika kizuizi cha nyumbani muda mfupi baada yakuwasili Uganda 06.10.2023 7:56
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine amesema siku ya Alhamisi amewekwa katika kizuizi cha nyumbani, baada ya kukamatwa na maafisa wa usalama alipokuwa akirejea nyumbani akitokea nje ya nchi.
Taarifa ya Habari 6 Oktoba 2023 06.10.2023 19:26
Wataalam wamesema Australia inahitaji makumi yama elfu ya nyumba za ziada zakukodi, wakati viwango vya nyumba zakukodi vinarejea katika viwango vya chini katika rekodi hali ambayo imeongeza kodi sana.
Baadhi ya wahamiaji wafunguka kuhusu kura ya The Voice 05.10.2023 5:06
SBS ina tambua kuwa maoni yanayo wasilishwa katika makala haya, haya wakilishi maoni ya jumuiya pana na si uwakilishi wa takwimu ya umma wa Australia. Kura ya maoni ya The Voice itafanywa Jumamosi 14 Oktoba 2023. Siku hiyo, wapiga kura wata ombwa kupiga kura ya ‘ndio’ au ‘la’ kwa swali moja pekee.
Mgahawa wa Music & Food waleta ladha mpya Sydney, Australia 05.10.2023 7:11
Walio hudhuria tamasha ya Africultures ya 2023, walikabiliawa kwa wakati mgumu wa kipi cha kuonja na kipi cha kupuuzwa.
Wahamiaji wanahitaji taarifa gani kabla waje Australia? 05.10.2023 11:17
Kila mwezi makumi yama elfu ya wahamiaji huwasili katika miji mbali mbali nchini Australia.
Taarifa ya Habari 3 Oktoba 2023 03.10.2023 18:34
Benki kuu ya Australia imeacha kiwango cha hela taslim kwa 4.1% kwa mwezi wa nne mfululizo.
Hatua zaku uza gari yako nchini Australia 03.10.2023 10:57
Inapofika wakati waku aga gari yako ya zamani, kuna mengi yakufanya zaidi yaku iosha, kutoa kitabu cha ukarabati pamoja nakupokea malipo.
Taarifa ya Habari 1 Oktoba 2023 01.10.2023 18:20
Seneta wa chama cha Greens Jordan Steele-John amesema panastahili kuwa waziri washirikisho wa ulemavu, anaye stahili ongoza utekelezwaji wa mapendekezo kutoka tume yakifalme kwa ulemavu.
Hatimae Martin Fayulu atangaza atawania Urais DRC 01.10.2023 8:24
Kiongozi wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Martin Fayulu, Jumamosi alithibitisha kugombea urais kwenye uchaguzi wa tarehe 20 Disemba 2023.
Taarifa ya Habari 26 Septemba 2023 26.09.2023 15:05
Daniel Andrews ametangaza uamuzi wake wakujiuzulu kama kiongozi wa Victoria.
Jinsi yakujiandaa kufanya mtihani wa uraia wa Australia 26.09.2023 12:43
Kuwa raia wa Australia ni uzoefu wa kusisimua na wenye zawadi kwa wahamiaji wengi.
Wambui azindua kampuni ya mavazi ya Ga-Kenia 06.09.2023 6:30
Tamasha ya Africultures hutoa fursa nyingi kwa wajasiriamali kukutana na kupata wateja wapya.
Taarifa ya Habari 5 Septemba 2023 05.09.2023 18:16
Serikali imesema haita piga hatua nyuma kwa pendekezo la sauti yawa Australia wa kwanza bungeni, licha ya matokeo mapya ya kura ya maoni ambayo yanaonesha hali si nzuri kwa kura ya maoni ijayo.
Wimbo maarufu wa John Farnham watumiwa katika kampeni ya kura ya Ndio 05.09.2023 7:01
Kiongozi wa upinzani wa shirikisho Peter Dutton amesema atafanya kura nyingine ya maoni, kama kura yakuweka sauti yawa Australia wa kwanza bungeni ndani ya katiba inafeli.
Taarifa ya Habari 4 Septemba 2023 04.09.2023 7:24
Waziri wa mazingira Tanya Plibersek amekosoa msimamo wa kiongozi wa upinzani Peter Dutton kwa Sauti yawa Australia wa kwanza bungeni.
Taarifa ya Habari 3 Septemba 2023 03.09.2023 16:44
Kiongozi wa upinzani Peter Dutton amesema uamuzi wa serikali ya Labor kukataa ombi la shirika la ndege la Qatar, kuongeza huduma zaidi nchini Australia kuta wadhuru wa Australia.
Delphine "Jamii imepokea kazi zetu vizuri ila, tunahitaji waje tushirikiane nao zaidi" 03.09.2023 7:27
Jumuiya zawa Afrika wanao ishi mjini Sydney, walijumuika katika viwanja kwa Sydney Olympic Park kwa tamasha ya Africultures 2 Septemba 2023.
Brian "Kita eleweka 16 Septemba ndani ya Melbourne Pavilion" 31.08.2023 17:47
Brian 'Swagga Boy' Agina ni bondia mwenye asili ya Kenya anaye ishi jimboni Victoria, Australia.
Kuku ashawishi ushindi katika tamasha ya Tamaduni Day 31.08.2023 9:40
Wanachama wa jumuiya yawa Kenya wanao ishi jimboni Victoria, hivi karibuni walishiriki katika tamasha ya tamaduni zao.
Taarifa ya Habari 29 Agosti 2023 29.08.2023 17:04
Waziri Mkuu Anthony Albanese, ajiaandaa kutangaza tarehe ya kura ya moani kwa Sauti yawa Australia wa Kwanza bungeni.
Jinsi yaku saidia wanyamapori walio jeruhiwa nchini Australia 29.08.2023 12:21
Australia ni nyumbani kwa baadhi ya wanyamapori wa aina mbalimbali na wanaovutia duniani, matokeo ya kutengwa kwa Australia kama bara na historia yakipekee ya mageuzi ambayo yametokea kwa ma milioni ya miaka.
Marekani yaweka vikwazo dhidi ya wanajeshi na wanamgambo wa DRC na Rwanda 27.08.2023 7:00
Wanajeshi na wanamgambo 6 kutoka DR Congo na Rwanda wame wekewa vikwazo na Marekani kwa madai yaku chochea mizozo katika mashariki mwa Congo.
Similar podcasts
Replaio is not a podcast publisher; show names, artwork and audio belong to their authors and are distributed through public RSS feeds.