SBS
SBS Swahili - SBS Swahili
Independent news and stories from SBS Audio, connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians. - Taarifa huru na hadithi zinazo kuunganisha na maisha nchini Australia nawa Australia wanao zungumza Kiswahili
Where to listen?
Podcasts in the app Replaio Radio Coming soonPodcasts are coming to the app soon. Install now and be the first to see a whole new take on podcasts
Episodes
Taarifa ya Habari 8 Disemba 2023 08.12.2023 19:27
Majimbo kadhaa yame wekwa katika tahadhari ya juu ya moto wa vichaka, mazingira ya joto kali yakitabiriwa wikendi hii.
Taarifa ya Habari 7 Disemba 2023 08.12.2023 6:33
Naibu kiongozi wa chama cha Liberal Sussan Ley ameomba serikali ya Albanese, iwaombe wa Australia msamaha wakati serikali ya Labor inazingatia kuwakamata tena watu ambao si raia walio achiwa hivi karibuni kutoka vizuizi vya uhamiaji, ambao huenda wakawa tisho kwa usalama wa jamii.
Makubaliano ya Uingereza na Rwanda kuhusu waomba hifadhi mashakani 08.12.2023 7:25
Waziri mkuu wa Uingereza Rishi Sunak amewataka wabunge wa chama chake cha Conservative siku ya Alhamisi kuunga mkono mpango wake wa kuwapeleka Rwanda waomba hifadhi.
George afunguka kwa nini alikimbia kutoka Adelaide hadi Melbourne 07.12.2023 19:51
George Chijarira ni mwanachama wa jumuiya ya watanzania wanao ishi Melbourne, Victoria.
Taarifa ya Habari 5 Disemba 2023 05.12.2023 14:28
Serikali ya shirikisho inatarajiwa kuwasilisha mageuzi ya muswada wiki hii, kwa ajili yaku kabiliana na utata ambao ume ibuka baada ya uamuzi wa mahakama kuu ambayo ili toa hukumu kuwa kifungo ndani ya vizuizi vya uhamiaji ni kinyume ya sheria.
Bw Ary "tunataka onesha utamaduni na mchango wetu katika jumuiya ya Australia" 05.12.2023 10:49
Wana jumuiya yawa Tanzania wanao ishi mjini Melbourne, Victoria wanajiandaa kushiriki katika sherehe kubwa ya uhuru wa taifa lao pendwa.
Taarifa ya Habari 4 Disemba 2023 05.12.2023 6:36
Kiongozi wa upinzani Peter Dutton amelaani anacho elezea kuwa ongezeko la mashambulizi dhidi ya wayahudi nchini Australia, tangu mwanzo wa mapigano mapya kati ya Israel na Hamas.
Hezron "watu wengi wamepata makaazi, ajira na huduma nyingi kupitia Kokwet" 05.12.2023 6:24
Viongozi wa jumuiya ya Kokwet wali wa andalia wanachama wao hafla maalum, ambako walichangia vyakula, walifanya maonesho ya mitindo nakumaliza sherehe kwa miziki ya asili yao.
Taarifa ya Habari 1 Disemba 2023 01.12.2023 18:20
Viongozi wakisiasa wame waomba wa Australia waungane na waoneshe huruma hapa nyumbani, wakati mivutano inaendelea kuongezeka kwa sababu ya hali inayo endelea katika ukanda wa mashariki ya kati.
Brian "nita ongeza juhudi kusaidia jumuiya yangu katika kila hali" 01.12.2023 4:38
Shirika la Kokwet lili andaa mashindano ya wanamitindo mjini Sydney siku chache zilizo pita.
Taarifa ya Habari 30 Novemba 2023 01.12.2023 6:51
Maafisa wa Australia wana endelea kuwasaidia watu 67 wanao taka ondoka Gaza ila, wanasema hali huko ni mbaya katika siku ya mwisho ya kusitishwa kwa muda kwa vita.
Australia ya Elezewa: Unawezaje tupa nguo ambazo hautaki nchini Australia? 01.12.2023 12:13
Je unajua wa Australia hutupa zaidi ya tani 200,000 ya nguo kila mwaka?
Taarifa ya Habari 28 Novemba 2023 28.11.2023 18:04
Upinzani wa shirikisho unaendelea kuikosoa serikali baada ya hukumu ya mahakama kuu, kuamuru kuwa kuweka watu ndani ya vizuizi vya uhamiaji kwa muda usiojulikana nchini Australia ni kinyume cha sheria.
Australia ya elezewa: Wazazi wanaweza msaidiaje mtoto kupona kiwewe? 28.11.2023 12:09
Ikiwa mtoto wako amepata kiwewe ng'ambo au nchini Australia, ikiwa ilifanyika hivi karibuni au katika siku za nyuma, pakiwa msaada unao faa, mtoto anaweza pona.
Taarifa ya Habari 27 Novemba 2023 27.11.2023 6:15
Mateka 17 wa Israel wame achiwa huru na wafungwa 39 waki Palestina nao pia wame achiwa huru katika siku ya tatu ya kusitishwa kwa vita kati ya Israel na Hamas.
Unahudhuria au ni mwenyeji wa sherehe yaki Australia? Haya ndiyo unahitaji jua 27.11.2023 10:54
Hakuna uhaba wa matukio yaku sherehekewa nchini Australia.
Tim "tuna endelea kutumia mbinu tofauti kuwafunza watoto wetu tamaduni zetu" 27.11.2023 9:28
Wanajumuia wa Mulembe wanao ishi mjini Melbourne, wali wakilishwa kwa fahari nakupokewa vyema katika tamasha ya African Music Festival 2023 mjini Melbourne, Victoria.
Taarifa ya Habari 24 Novemba 2023 24.11.2023 19:32
Waziri Mkuu amesisitiza kuwa serikali yake inafanya iwezavyo kupunguza mfumuko wa bei, na kiongozi wa benki kuu ana amini inaendelea kutokea ndani.
Somalia yatengeza historia katika fainali ya kombe la Afrika Kusini Australia 24.11.2023 6:58
Timu ya Somalia, imekuwa ikishiriki katika michuano ya kombe la Afrika la Kusini Australia bila mafanikio makubwa.
Yemba Fashion "nimezaliwa namapenzi yakuvaa vizuri, na tofauti na wengine" 23.11.2023 13:04
Wanaume wengi kutoka DR Congo wanajulikana kwa mavazi yao yanayo vutia.
Taarifa ya Habari 21 Novemba 2023 21.11.2023 21:17
Takwimu mpya zina dokeza kuwa vijana nchini Australia wana punguza matumizi yao zaidi kuliko vikundi vingine, na wanapunguza pia matumizi kwa vitu muhimu.
Melbourne yapata kionjo cha Mwomboko 18.11.2023 11:26
Wakaaji wa mji wa Melbourne wanatazamia kushuhudia maonesho yakitamaduni ya miziki kutoka bara la Afrika kuanzia Ijumaa 17 Novemba hadi Jumapili 20 Novemba 2023.
Taarifa ya Habari 17 Novemba 2023 17.11.2023 19:17
Waziri Mkuu Athony Albanese ashiriki katika mkutano wa APEC ambako mabadiliko ya hali ya hewa na nishati mbadala ni miongoni mwa mada za majadiliano.
Taarifa ya Habari 14 Novemba 2023 14.11.2023 18:30
Serikali ya shirikisho imesema inapanga kufanya mfumo wa ustawi wa Australia kuwa waki "utu" zaidi, baada ya ripoti mhimu ya tume yakifalme kwa mfumo wa Robodebt kutolewa.
Sera ya KRA yazua utata ndani na nje ya nchi 14.11.2023 18:17
Shirika la Kenya Revenue Authority (KRA), lime tawala gumzo miongoni mwa wakenya kote duniani baada yakutangazia umma mchakato mpya wa utoaji wa ushuru nchini humo.
Similar podcasts
Replaio is not a podcast publisher; show names, artwork and audio belong to their authors and are distributed through public RSS feeds.