Nukta Habari

Nukta the Podcast

News SW ↓ 81 episodes

Nukta Habari inakusogeza na mambo mtambuka yanayokuhusu ikiwemo burudani, mtindo maisha, safari, teknolojia na biashara.

Author

Nukta Habari

Category

News

Podcast website

nukta.co.tz

Latest episode

Jul 2, 2026

Where to listen?

Podcasts in the app Replaio Radio Coming soon

Podcasts are coming to the app soon. Install now and be the first to see a whole new take on podcasts

Get it on Google Play Install for free Android 5M+ downloads · 4.8 rating iOS soon

Episodes

A Naija christmas : Filamu ya kuchangamsha siku kuu yako. 24.12.2021

Filamu hii inahusu familia ya Madam Agatha, singo mother mwenye vijana wa kiume watatu Chike, Obi, na Ugo.

Filamu ya king’s affection: Majukumu yanavyobadilisha jinsia 17.12.2021

Filamu hii inaturudisha nyuma enzi hizo wakati nchi ya Joeson haijaitwa Korea. Katika kipindi hicho, Mwana mfalme mteule au “crown prince” Anatarajia mtoto ambaye atakuja kurithi kiti cha enzi kama mfalme wa Joeson.

Itakuwaje ikiwepo sayari ya wanaume peke yao? 10.12.2021

Ni filamu inayomhusu mwanadada ambaye anajikuta katika sayari iliyo na wanaume tu baada ya kupata ajali.

Huyu ndiye mwanamke shujaa wa Afrika 29.11.2021

Historia ya malkia huyu inatufanya turudi nyuma miaka 500 iliyopita, ambapo Amina akiwa ni ‘princess’ mdogo mwenye ujasiri na kipenzi cha baba yake.

Filamu ya ‘Red Notice’: Kikulacho ki nguoni mwako 19.11.2021

Filamu ya “Red Notice”, ipo kutukumbusha kuwa makini na wale wageni wanaogonga kwenye milango ya mioyo yetu na kutufanya tuone kuwa dhamira zao juu yetu ni za dhati.

Filamu ya “No Time To Die”: Mashaka yaliyojaa majuto 12.11.2021

Bahati ya mapenzi siyo ya wote, Wakati Adamu akikutana na Hawa kwa urahisi, wengine ni Samson wanaoishia na Delila. Samson wa leo ni James Bond almaarufu kama Agent 007.

Pesa zilivyoweka rehani maisha ya vijana watano 05.11.2021

Ni katika filamu ya Filamu ya the Army of Thieves inayohusu kikundi cha wezi waliobobea kuibia mabilionea

“My Name” Filamu ya kuchangamsha wikiendi yako 22.10.2021

Katika filamu hii  ya “My name”, yaani jina langu, tunakutana na binti mrembo Yoo Ji Woo, ambaye katika maisha yake amekuwa akilelelewa na baba yake tu. Kwa jinsi baba yake alivyokuwa akimpenda sana, basi Jiwoo anaweza kujiita “dad’s daughter” kama vile wadada huwa wanajigamba. Maisha ya Jiwoo na baba yake siyo mazuri sana, kwani baba yake hakuwa na kazi rasmi ya kuwaingizia kipato zaidi ya k...

Mfahamu ‘single mother’ mpambanaji wa filamu ya Maid 15.10.2021

Clean Bandit hawakukosea walipoimba kibao Cha Rockabye , ambacho kinaelezea jinsi single mothers wengi wanavyopambana kwa hali na mali ili kuwalea watoto wao.

Wanawake na safari ya ushiriki maendeleo Kigoma 13.10.2021

Ushiriki wa wanawake katika maendeleo ya kata zao umechangia kuwepo kwa huduma muhimu za kijamii ikiwemo shule.

Wema unaosukuma maendeleo ya elimu Tanzania 13.10.2021

Kutana na watu wanaochangia maendeleo ya elimu Mkoani Kigoma kwa kuwasaidia wanafunzi kuvuka mto ambao umekuwa kikwazo cha elimu Mkoani humo.

Maisha ya ahueni baada ya Teleza 12.10.2021

Teleza ni wahalifu waliokuwa wanajipaka mafuta mwilini au oili na kuwabaka wakina mama mkoani kigoma. 

Matumaini mapya baada ya ujenzi wa shule kukwama Kigoma 12.10.2021

Endapo serikali itachelewa kukamilisha mradi wa shule hii, huenda ikachangia kwa wananchi kukata tamaa ya kujitoa kwenye shughuli za maendeleo.

Utafanya nini iwapo hakuna anayekuamini tena? 08.10.2021

Ni filamu ya “The Last Duel”, inayohusu kufa kwa uaminifu kati ya Marguerite na watu wake wa karibu

Filamu ya The Squid Game: Tamaa mbele mauti nyuma 01.10.2021

Uchambuzi wa filamu ya ‘The Squid Game’ inakukutanisha na watu wanaofanya maamuzi magumu baada ya maisha yao kutokuwa na ahueni kila uchao, huku mmoja wapo akiwa ni Gi-Hun . Hun ni mhusika mkuu katika filamu hii, ambaye maisha yake amekuwa akiyaendesha kwa ‘kuunga unga’ tu, huku kazi yake kubwa ikiwa ni kucheza kamali.

Saa 24 za kummaliza rafiki aliyegeuka kuwa adui 24.09.2021

Filamu ya Kate inamhusu mwanadada ambaye hajawahi kufaidi mapenzi ya baba na mama, kwani waliomleta duniani walifariki akiwa bado ni mtoto.

Wananchi wanaopambana kuokoa maisha Geita 23.09.2021

Ni kupitia ujenzi wa zahanati ambazo zitatumika kufanya matibabu ya wakazi wa mkoa huo.

Wakazi wa Geita wanavyopambana na kung'oa ujinga 23.09.2021

Kutana na juhudi za Wanageita wanavyopambana kung'oa ujinga kwenye mkoa wao

Ushirikishwaji ulivyowainua wanawake Geita 21.09.2021

Kutana na Rebecca Makenza, Mwanamke anayehamasisha ushiriki wa wanawake kwenye maendeleo.

Ukatili wa kijinsia sokoni ulivyokomeshwa Dar 21.09.2021

Ili kukomesha ukatili wa wanawake kwenye masoko, sheria zimetengenezwa ili kuadhibu yeyote anayefanya udhalilishaji wa kijinsia.

Vita ya baba na mtoto inayoacha alama kwenye familia 11.09.2021

Huzuni, hasira na majuto yanamfanya Wenwu kuchochea moto wa kisasi huku kuni yake akiwa ni mtoto wake , Shang Chi.

Hulka ya upole inapobadilika kuwa umafia 06.09.2021

Filamu hii ya “The Devil Judge” yaani hakimu shetani inakukutanisha na hakimu ‘mtata’ kuwahi kutokea katika ardhi ya wana filamu.

Zahanati itakayookoa maisha ya maelfu ya wanawake, watoto Geita 03.09.2021

Wakazi wa kijiji cha Isebya mkoani Geita wamejenga zahanati itakayopunguza vifo vya watoto na wajawazito wanaosafiri zaidi ya kilomita 5 kufuata huduma za afya kata ya jira ya Ilolungulu.

Kisasi kinavyogeuka kuwa safari ya penzi jipya 27.08.2021

Ni filamu ya The Protege, inamhusu mwanadada ambaye waovu wamemaliza familia yake.

Penzi linavyovunja mnyororo wa maisha 06.08.2021

Inamhusu mwanababa anayelazimika kubadili maisha yake baada ya mrembo kupita machoni kwake.

Listen to the Nukta the Podcast podcast in Replaio

Radio and podcasts in one app - free, with no sign-up. Install today and do not miss the launch

Get it on Google Play

Replaio is not a podcast publisher; show names, artwork and audio belong to their authors and are distributed through public RSS feeds.