Fabian C. Mwakabanje

Babananiii

Arts SW ↓ 55 episodes

A literate African empowering the community through literacy programs.

Author

Fabian C. Mwakabanje

Category

Arts

Podcast website

podcasters.spotify.com

Latest episode

Feb 20, 2026

Where to listen?

Podcasts in the app Replaio Radio Coming soon

Podcasts are coming to the app soon. Install now and be the first to see a whole new take on podcasts

Get it on Google Play Install for free Android 5M+ downloads · 4.8 rating iOS soon

Episodes

Unapochagua Kazi Zingatia 08.05.2021

CHAGUA KAZI UNAYOIPENDA: Jambo la kwanza na lililo muhimu kushinda mengine yote kuhusu kazi ni kuhakikisha kwamba unaipenda kwa dhati na kufurahia kuifanya. Ziko kazi za aina mbalimbali - k.m. kilimo; ufugaji; biashara; kutoa huduma mbalimbali kama vile ualimu; udaktari; ukarani; n.k. Kazi hizo zinaweza kufanywa mahali mbalimbali - k.m. kijijini; mjini; nyumbani; ofisini; kiwandani; n.k. Vile vile...

KAZI NI UHAI 07.05.2021

Mambo ya kuzingatia unapochagua kazi.

KIJANA NA KAZI/FAIDA YA KAZI PT. 3 06.05.2021

*FAIDA ZA KAZI* inaendelea..... 4. KAZI ITAIMARISHA AFYA YAKO Katika sehemu nyingi mbalimbali duniani imeanza kuonekana kwamba akina mama huwa na maisha marefu zaidi kuliko akina baba. Kuna sababu mbalimbali ambazo huleta tofauti hiyo, na mojawapo ambayo wataalam wengi wanakubaliana nayo ni ile inayohusu kazi. Wanasema kwamba kwa vile kina mama wanafanya kazi zaidi kuliko kina baba (yaani hawastaa...

FAIDA YA KAZI PT. 2 05.05.2021

*FAIDA YA KAZI* Inaendelea.... *2. KAZI ITAKUONGEZEA FURAHA* Licha ya uchumi kazi inaweza kuwa jambo la kufurahisha sana. Mtu hufurahia anapofanya kazi yenyewe, na hufurahia pia, anapoona matokeo ya kazi yake, hasa iwapo kazi hiyo iwe ni ile inayohusiana na kuleta mabadiliko mapya mbalimbali. Isitoshe, shughuli za kazi zinasaidia sana kupitisha wakati na kumwondolea mtu mawazo yasiyofaa. Vile vile...

KIJANA NA KAZI (The Youth Got To Work) 04.05.2021

Kijana na kazi, ni mfululizo wa mafunzo yaliyomo katika kitabu kiitwacho kijana na kazi kilichochapishwa mwaka 1983 na EMAU (Elimu ya Malezi ya Ujana). My name is Fabian C. Mwakabanje, a Tanzanian educator, I coordinate young adults literacy program in public schools. In these episodes i seek to empower the written words through the voice for those many in my community who can't read nor write or...

Listen to the Babananiii podcast in Replaio

Radio and podcasts in one app - free, with no sign-up. Install today and do not miss the launch

Get it on Google Play

Replaio is not a podcast publisher; show names, artwork and audio belong to their authors and are distributed through public RSS feeds.