Fabian C. Mwakabanje
Babananiii
A literate African empowering the community through literacy programs.
Author
Fabian C. Mwakabanje
Category
Podcast website
Latest episode
Feb 20, 2026
Where to listen?
Podcasts in the app Replaio Radio Coming soonPodcasts are coming to the app soon. Install now and be the first to see a whole new take on podcasts
Episodes
Empire of Faith 20.02.2026 1:47
from Writings on the Wall book
KATIKA UKAMILIFU WA NYAKATI - 01 02.02.2026 6:06
Tunakiangalia kipindi cha karne ya kwanza.
KATIKA UKAMILIFU WA NYAKATI 03 01.02.2026 7:11
Simulizi ya mazingira ya karne ya kwanza
KATIKA UKAMILIFU WA NYAKATI 2 30.01.2026 7:11
Karibu kunisikiliza nikisimulia nyakati zilivyokuwa kipindi cha Yesu akiwa mvulana pale Yudea.
BOOK CLUB FRIDAY JAN 24 26.01.2024 16:41
First week discussion on the internet, the dark web and all technology stuff.
VITABU VYA WATOTO 26.01.2024 1:36:08
HAdithi hadithi za watoto. Children story books, read alouds
Nyongeza fikra yako 10.09.2023 1:56
Mawazo
Poems by Poets 10.09.2023 1:37
Collection from my favourites.
What's Yah Take? 26.07.2023 2:55
Questions I ask myself in solitude...
Pretending poem 23.04.2022 2:08
By Salma Shuma
Sermon Design and Delivery 04.04.2022 9:01
Thomas H. Holland
TUJISAHIHISHE Na. 2 17.02.2022 7:41
"Elimu" na Kujielimisha.
TUJISAHIHISHE (Sehemu 1) 16.02.2022 13:38
Tujisahihishe, kitabu kiliandikwa na Hayati Baba Wa Taifa Letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanzania, mwezi Mei mwaka 1962, Dar es Salaam, Tanganyika.
JINSI YA KUWEKA MIPANGO 13.10.2021 4:53
*JINSI YA KUWEKA MIPANGO* A. Marlene Wilson anasema kwamba mchakato ulioratibiwa unapaswa kuzingatia kanuni zifuatazo: 1. *Malengo;* ni matokeo yanayotazamiwa; mahali ambapo mtu au taasisi inataka kufika -- hatima au maazimio yake. 2. *Maazimio;* kutafsiri malengo na madhumuni kwa njia iliyo wazi na rahisi ya kueleweka na kutekelezeka (wakati mwingine huitwa mipango kazi). 3. *Kazi;* ni mambo gani...
Hawawezi kuelewa 05.10.2021 4:15
Maelezo yoyote utakayoyatoa yanayokuhusu wewe kwa ubinafsi hata kama si makosa kujipenda na kujipendelea ila wengine ni vigumu kukuelewa.
KUSADIKIKA:- MJUMBE WA MASHARIKI 15.09.2021 3:07
Kitabu Mkononi leo hii kinatoka kwa mwandishi nguli na mbobezi wa lugha ya Kiswahili. Ukurasa wa 19
MTU MWENYE BAHATI KULIKO WOTE KATIKA BABELI 07.09.2021 50:09
Mwisho wa simulizi yetu ya tajiri wa babeli. Kazi ni utu. Kazi inamuheshimisha mtu katika watu
MFANYABIASHARA WA NGAMIA WA BABELI 06.09.2021 26:54
Penye nia pana njia. Kama una nia basi njia utaiona na kuiendea.
KUTA ZA BABELI 04.09.2021 12:11
Gharama ya ulinzi ni ya asili na kubwa sana kwa mwanadamu. Anahitaji kuwa salama, na mali zake kuwa katika ulinzi na usalama. Ndiyo dhima ya sehemu hii ya Saba (7) katika mfululizo wa simulizi ya TAJIRI WA BABELI.
MKOPESHA PESA WA BABELI 02.09.2021 31:28
"Zawadi uliyopewa na mfalme inatakiwa kukufundisha hekima. Ukitaka kubaki na vipande vyako hamsini vya dhahabu, unatakiwa kuwa makini. Utavutiwa na vitu vingi na utapata ushauri mwingi sana. Utaambiwa fursa nyingi zinazodaiwa kutoa faida kubwa. Habari na hadithi kutoka kwenye sanduku langu la dhamana zinatakiwa kuwa onyo kwako. Kabla hujaruhusu pesa yako kutoka kwenye pochi hakikisha utaweza kuiru...
ZIJUE SHERIA TANO ZA PESA 01.09.2021 28:44
"Ukiambiwa uchague kati ya mfuko uliojaa dhahabu na mabamba ya vigae yaliyoandikwa maneno ya hekima na busara, utachagua nini?" Wasikilizaji walikuwa wamekaa jangwani wakiwa wamekusanyika kuzunguka moto. Walikuwa wakisikiliza kwa makini. Mwanga wa moto ulionyesha nyuso zao ambazo zilianza kuwa nyeusi sababu ya jua la jangwani. "Dhahabu, dhahabu," walijibu wote ishirini na saba kwa pamoja. Mzee Kal...
MUNGU WA BAHATI (Sehemu Ya Pili) 30.08.2021 16:02
Mungu wa bahati huwapendelea watu wa vitendo.
KUTANA NA MUNGU WA BAHATI (Sehemu Ya Kwanza) 28.08.2021 22:59
"Kama mtu ana bahati huwezi jua inapoishia. Mtupe ndani ya mto Efrati naye atatoka ameshikilia lulu." -- METHALI YA WABABILONI
TIBA 7 ZA POCHI TUPU (4 - 7) 26.08.2021 26:38
Hizi ndizo jumla ya tiba saba za pochi tupu. Kwahiyo tiba ya saba na ya mwisho ya kutibu pochi tupu ni kuwa mtu bora. Kujifunza na kujizoeza kupata maarifa zaidi, kupata ujuzi zaidi na kujiendesha maisha yako kwa heshima. Hapo unaweza kujiamini na utaweza kutimiza malengo yako.
Gum on the Gate (Book 6) 26.08.2021 11:29
Every evening I usually read a story to primary students as a way of influencing and fostering a reading habit.
Similar podcasts
Replaio is not a podcast publisher; show names, artwork and audio belong to their authors and are distributed through public RSS feeds.