SBS
SBS Swahili - SBS Swahili
Independent news and stories from SBS Audio, connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians. - Taarifa huru na hadithi zinazo kuunganisha na maisha nchini Australia nawa Australia wanao zungumza Kiswahili
Where to listen?
Podcasts in the app Replaio Radio Coming soonPodcasts are coming to the app soon. Install now and be the first to see a whole new take on podcasts
Episodes
Taarifa ya Habari 2 Agosti 2024 02.08.2024 16:25
Waziri Mkuu amesema maoni ya watu wanao ishi na ulemavu yanasikizwa, kufuatia ukosoaji ulio ibuka kufuatia jibu la serikali kwa tume yakifalme kwa ulemavu.
Jeff "unaweza dhani ume mdhuru mtu mmoja tu, kumbe ume waathiri wengi zaidi" 02.08.2024 5:21
Hadithi halisi za wahanga wa mauaji ya 1994 nchini Rwanda, zime zinduliwa katika jumba la sanaa mjini.
H_art the Band kuhusu tamasha ya Australia 02.08.2024 13:47
Kundi la H_art the Band kutoka Kenya, lili kuwa mjini Sydney kwa tamasha yao ya miji 5 mikuu ya Australia.
Taarifa ya Habari 12 Julai 2024 12.07.2024 15:44
Polisi wadai baba ambaye amefunguliwa mashtaka ya mauaji ya watoto wake watatu, inadaiwa walifunga milango kuwazuia watu kuondoka ndani ya nyumba iliyo kuwa iki ungua katika kitongoji cha Lalor Park mjini Sydney.
Sanaa inayo sherehekea uhusiano wa watu wa Mataifa ya Kwanza na bahari 12.07.2024 5:29
Ni wiki ya NAIDOC, wakati wakusherehekea historia, utamaduni na mafanikio ya watu wa Mataifa ya Kwanza.
Taarifa ya Habari 11 Julai 2024 11.07.2024 6:22
Jumuiya katika maeneo ya magharibi Melbourne, zime ambiwa kuepuka kiwanda cha kemikali ambako moto ulituma moshi wenye sumu angani mjini humo baada ya wazima moto kukabiliana na moto huo usiku kutwa.
Konje "walicho tumia kutuomba kura ndicho wanatumia kufanya maisha yawe ngumu" 10.07.2024 8:17
Muswada wa fedha wa 2024 nchini Kenya, umevutia upinzani mkubwa kutoka wakenya wanao ishi Australia.
Umuhimu wa itifaki zawa Australia wa asili ni nini kwa kila mtu? 09.07.2024 11:55
Kuzingatia itifaki zakitamaduni zawa Aboriginal na wana visiwa wa Torres Strait wa Australia, ni hatua muhimu kwa kuelewa na kuwaheshimu wamiliki wa jadi wa ardhi tunako ishi.
Taarifa ya Habari 9 Julai 2024 09.07.2024 18:46
Wakaaji wa Alice Springs wame amka baada ya usiku wa kwanza wa amri ya kuto toka nje ambayo ili wekwa kwa ajili yakupunguza uhalifu.
Jinsi yakufanya rejesho lako la ushuru Australia 09.07.2024 12:01
Kama wewe ni mkaaji wa Australia kwa madhumuni ya ushuru, kuanzia Julai 1, ambayo ni mwanzo wa mwaka wa fedha, lazima uweke wazi mapato yote uliyopata katika mwaka uliopita wa fedha, dhidi ya makato yako ya kodi.
Taarifa ya Habari 5 Julai 2024 05.07.2024 19:05
Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema muda ambao Seneta Fatima Payman amefanya tangazo lake lakujiuzulu kutoka chama cha Labor ni swala linalo mhusu.
Phylis "naomba wakenya wadumishe amani na viongozi wasikize maoni yetu" 04.07.2024 5:08
Maandamano ya vijana yanayo endelea Kenya, yame zua hisia mseto katika jamii.
Kinyua "tumekuja kuomboleza walio uawa katika maandamano Kenya" 04.07.2024 12:12
Wakenya wanao ishi Canberra, Australia walijumuika mbele ya ubalozi wa nchi yao kuonesha mshikamano na vijana wenzao.
Taarifa ya Habari 28 Juni 2024 28.06.2024 17:48
Vyama vya wafanyakazi wanaunga mkono haki ya wabunge wa chama cha Labor kuvuka sakafu na kupiga kura dhidi ya msimamo wa chama, wakisema hatua hiyo ina imarisha vuguvugu la Labor.
Indigenous art: Connection to Country and a window to the past - Sanaa ya watu wa Asili: Muunganisho wa Nchi na dirisha kwa siku za nyuma 27.06.2024 9:36
Embracing their oral traditions, Aboriginal and Torres Strait Islander peoples have used art as a medium to pass down their cultural stories, spiritual beliefs, and essential knowledge of the land. - Kukumbatia mila zao zaku simulia hadhithi, watu waki Aboriginal na wanavisia wa Torres Strait wame tumia sanaa kama mbinu yaku changia hadithi za utamaduni wao, imani za kiroho na maarifa muhimu ya ar...
Taarifa ya Habari 27 Juni 2024 27.06.2024 6:40
Mbunge wa chama cha Liberal Simon Birmingham amesema amefurahi kuona masaibu yakisheria ya Julian Assange yame isha ila, ilikuwa makosa kwa waziri mkuu kumpigia simu Bw Assange akimkaribisha nyumbani.
Makena "Viongozi wetu wajifunze kwa yaliyo fanyika Sri Lanka" 25.06.2024 19:34
Maandamano dhidi ya muswada wa fedha wa 2024 nchini Kenya hatimae yamefika Australia.
Taarifa ya habari 25 Juni 2024 25.06.2024 19:58
Baadhi ya wabunge huru wanataka makaazi yawekwe kuwa haki ya msingi ya binadamu nchini Australia.
Wahitimu wamatibabu wakimataifa wa elezea kero za sifa zao kutambuliwa Australia 25.06.2024 9:20
Takwimu mpya zina onesha ongezeko kwa idadi yama daktari, wauguzi na wataalamu wa afya wanao fanya kazi katika mifumo ya huduma ya afya nchini Australia.
Taarifa ya Habari 21 Juni 2024 21.06.2024 19:29
Australia ime ahidi kuendelea kuwasaidia wakaaji wa Papua New Guinea ambao wanapitia wakati mgumu kumudu maisha baada ya kukabiliwa kwa maporomoko mabaya ya ardhi mnamo Mei.
Taarifa ya Habari 20 Juni 2024 20.06.2024 7:18
Mwanaume mmoja amefikishwa mahakani leo kwa sababu ya dai la tisho la bomu lililo funga sehemu za mji wa Melbourne jana Jumatano mchana.
Patrick 'nimuhimu kwa wakimbizi kuja Australia wakiwa na leseni yakuendesha gari' 20.06.2024 17:59
Maadhimisho ya wiki yawakimbizi yalifanyika kote nchini Australia.
Taarifa ya Habari 18 Juni 2024 18.06.2024 17:37
Waziri mkuu wa China Li Qiang ameondoka Canberra baada ya siku yakihistoria ya mazungumzo yakidiplomasia ndani ya bunge la taifa.
Haki zangu zakidini zina lindwaje kazini? 18.06.2024 13:43
Nchini Australia, sheria dhidi ya ubaguzi katika sehemu za kazi kwa misingi yakidini hutofautiana katika mamlaka zote.
Taarifa ya Habari 17 Juni 2024 18.06.2024 5:48
Waziri wa kwanza wa China Li Qiang amekaribishwa ndani ya bunge la taifa, hiyo ikiwa ni ziara ya kwanza ya waziri wa kwanza wa China katika muda wa miaka 7.
Similar podcasts
Replaio is not a podcast publisher; show names, artwork and audio belong to their authors and are distributed through public RSS feeds.