HOPE FM
Yesu Ndiye Njia
Yesu Ndiye Njia is a program hosted by Mr. Zablon Nyonje every Friday on Hope Fm from 8pm to 10 pm. It's a Christian apologetic programme that targets to reach out to people of other faiths who always ask questions about the Christian faith and Biblical teaching.
Where to listen?
Podcasts in the app Replaio Radio Coming soonPodcasts are coming to the app soon. Install now and be the first to see a whole new take on podcasts
Episodes
VITA 11.03.2026 1:21:35
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili kwa kina kuhusu vita vinavoendelea katika nyanja za kimataifa.
HABARI ZA KUFUNGA 23.02.2026 1:25:46
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili kwa kina kuhusu habari za kufunga na umuhimu wake katika maisha yetu ya kiroho.
KUFUNGA 27.01.2026 1:16:59
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili kwa upana kuhusu kufunga naumuhimu wake maishani mwetu"
KUMPOKEA YESU KRISTO 20.01.2026 1:21:58
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili kwa upana kumhusu "Kumpokea Yesu Kristo"
KUMFAHAMU YESU KRISTO 02.12.2025 1:20:11
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili kwa upana kumhusu Yesu Kristo ambaye ni mwana wa Mungu.
NENO LA MUNGU 02.12.2025 1:20:07
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili kuhusu madai kuwa maandiko takatifu yamebadilishwa au kuchafuliwa.
MATESO KWA MWENYE HAKI 02.12.2025 1:24:43
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili kuhusu kuteseka kwa wenye haki kwa ajli ya Kristo.
SIFA ZA MUNGU WA KWELI 24.11.2025 1:18:10
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili kuhusu sifa za Mungu wa kweli na asiye wa kweli
UONGOZI 27.10.2025 1:00:27
UONGOZI AIRED ON 17TH OC 2025 BY ZABLON AND YUSUFU
MUNGU WA KWELI 27.10.2025 1:34:42
MUNGU WA KWELI AIRED ON 25TH OCT 2025 BY ZABLON, YUSUFU AND J SMITH
UJUMBE WA MUNGU UNAVYOSTAHILI KUTUMIWA 24.09.2025 1:23:21
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili kuhusu jinsi ujumbe wa Mungu unavyostahili kutumiwa.
KUZUNGUMZA KWA NDIMI 07.08.2025 1:24:07
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili kuhusu kipaji cha Roho Mtakatifu cha Kuzungumza kwa Ndimi.
URITHI WA WANAHARAMU 06.08.2025 1:32:28
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili kuhusu urithi wa mali kwa watoto waliozaliwa nje ya ndoa.'
URITHI KAMILI 31.07.2025 1:22:09
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili kuhusu 'Urithi Kamili.'
SIKU YA KIAMA 29.07.2025 1:12:18
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili kuhusu 'Siku za mwisho/ kiama.'
KURUDI KWAKE BWANA YESU 29.07.2025 1:25:26
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili kuhusu 'Kurudi Kwake Bwana Yesu.'
MNARA WA BABELI 24.06.2025 1:27:28
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili kuhusu 'Mnara wa Babeli.'
WOKOVU 24.06.2025 1:25:53
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili kuhusu 'Wokovu' na manufaa yake.
HABARI ZA 'BETTING' 09.06.2025 1:41:16
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili kuhusu masuala ya ' betting' na madhara yake.
MBONA BWANA YESU AKAMTUMIA PUNDA? 09.05.2025 1:27:57
Ungana na Mwalimu Zablon Nyonje na mwenzake Yusuf Kwoma katika kipindi cha Yesu Ndiye Njia, wanapojadili mbona Yesu alimtumia Punda katika huduma yake.
JE, YESU ANAPASWA KUABUDIWA? 08.05.2025 1:19:35
Ungana na Mwalimu Yusuf Kwoma na mwenzake Zablon Nyonje katika kipindi cha YESU NDIYE NJIA. Mjadala ukiwa 'Iwapo Yesu Anapaswa Kuabudiwa.'
UBINADAMU 30.04.2025 1:24:52
Ungana na Mwalimu Zablon na Yusuf wanapojadili kuhusu Ubinadamu wa Yesu ambaye ni mwana wa Mungu.
JE, YESU NI MUNGU? 16.04.2025 1:24:21
Ungana na Mwalimu Yusuf na Zablon Nyonje kwenye kipindi cha Yesu Ndiye Njia wanapojadili iwapo Yesu ni Mungu.
SIRI YA NDOA 10.04.2025 1:28:23
Ungana na Mwalimu Yusuf na Zablon Nyonje kwenye kipindi cha Yesu Ndiye Njia wanapojadili kuhusu siri ya ndoa.
WANAWAKE KATIKA JAMII 09.04.2025 1:25:51
Ungana na Mwalimu Yusuf na Zablon Nyonje kwenye kipindi cha Yesu Ndiye Njia wanapojadili kuhusu sehemu ya wanawake katika jamii.
Similar podcasts
Replaio is not a podcast publisher; show names, artwork and audio belong to their authors and are distributed through public RSS feeds.